2 Mambo ya Nyakati 9 : 21 2nd Chronicles chapter 9 verse 21

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 9:21

Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu zilizokwenda Tarshishi pamoja na watumishi wa Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.
soma Mlango wa 9

2nd Chronicles 9:21

For the king had ships that went to Tarshish with the servants of Huram; once every three years came the ships of Tarshish, bringing gold, and silver, ivory, and apes, and peacocks.