1 Mambo ya Nyakati 28 : 2 1st Chronicles chapter 28 verse 2

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 28:2

Ndipo Daudi mfalme akasimama kwa miguu yake, akasema, Nisikilizeni, ndugu zangu, na watu wangu; Mimi nalikuwa na nia ya kuijenga nyumba ya kustarehe kwa ajili ya sanduku la agano la Bwana, na kiti cha kuwekea miguu yake cha Mungu wetu; hata nalikuwa nimeweka tayari kwa kujenga.
soma Mlango wa 28

1st Chronicles 28:2

Then David the king stood up on his feet, and said, Hear me, my brothers, and my people: as for me, it was in my heart to build a house of rest for the ark of the covenant of Yahweh, and for the footstool of our God; and I had made ready for the building.