Ruth Matete - Eloi Eloi Lyrics

Contents:

Eloi Eloi Lyrics

All my life sijaona mwaminifu akikosa mkate
All my life sijaona mwaminifu akikosa mkate
Hai nimechoka na vicheko, hai nimechoka na dharau
Sitojali hata jirani akipata kuniliko
Baba niokoe, Baba nishikilie,
Baba nisaidie, Baba nakuhitaji

Ni wako ni wako, nakwitaji ii
Ni wako ni wako, usiniache
Eloi Elohi lamasabakitani
Eloi Elohi lamasabakitani

Najiuliza kwa nini wateule twapitia majanga
Leo hii ni mimi kesho ni yule
Ninaomba bila kuchoka, situation bado ni same
Eloooi lamasabakitani, nakungojea Baba
Sema nami niko hapa, sema nami sibanduki kamwe

Ni wako ni wako, nakwitaji ii
Ni wako ni wako, usiniache
Eloi Elohi lamasabakitani
Eloi Elohi lamasabakitani

Uooh usiniache Baba aah,
Usiniach nanaa nanaah
Ni wako ni wako, nakwitaji ii
Ni wako ni wako, usiniache
Eloi Elohi lamasabakitani
Eloi Elohi lamasabakitani

Unikumbuke Baba usiniwache
Mimi wako Baba ninaomba
Eloi Eloi ...


Ruth Matete Songs

Related Songs