Mwenyehaki + Pitson - Wanajua Lyrics

Wanajua Lyrics

Oooh oh oh, story wanajua, nikulenga tu, kulenga tu
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu, ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu, ni kulenga tu ni kulenga tu
Tangu wakiwa wachanga, oh ai, kupelekwa kanisa na mama, oh ai
Sunday skuli, kufundishwa tamaduni.
Wakisema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Waliosema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Kusoma neno la Bwana na kusahau, ni kama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kukulenga tu, ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu, ni kukulenga tu

Wakiwa barabarani, wakingoja basi,
Na wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Wakiwa sokoni wakiuza na kununua
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii
Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kukulenga tu, ni ikulenga tu
Wanakujua, ni kukulenga tu, ni kulenga tu

Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea
Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kukulenga tu, ni ikulenga tu
Wanakujua, ni kukulenga tu, ni kulenga tu


Wanajua Video

Wanajua  Lyrics -  Mwenyehaki

Mwenyehaki Songs

Related Songs