Yelele Yee
Yelele Yee
Yelele Yee
Nakupamba na sifa zangu, Wewe kwangu Ebeneza
Nakupamba na sifa zangu, Wewe kwangu Ebeneza
Nakupamba na sifa zangu, Wewe kwangu Ebeneza
Yelele Yee
Yelele Yee
Yelele Yee
Nakuinua, wastahili, wapendeza, Mungu wangu
Jina lako, takatifu, wewe kwangu… Oh
Nakwita Adonai; Ewe U Bwana wangu
Nakwita Jehova Nissi; bendera yangu – vita ni vyako
Nakuita Jireh; sipungukiwi na chochote
Jehovah Shammah; pamoja nami
Nakuinua, wastahili, wapendeza, Mungu wangu
Jina lako, takatifu, wewe kwangu… Oh
Meaning:
Honor you with my praises