Kambua - Mwaminifu Lyrics

Mwaminifu Lyrics

Mwaminifu toka mwanzo hadi sasa
Yeye anatosha, yeye anatosha
Anatenda mambo mengi ya ajabu
Yeye anatosha, yeye anatosha

Mungu habadiliki kamwe
Yeye halinganishwi kamwe oooh!
Baba hafananishwi kamwe
Anatenda mambo mengi makuu uuh!

Tumuite Baba, tumwimbie Yesu
Tumwite Baba, Baba Baba hey
Tumwite Baba, Baba Baba eeiye

Knowing this kind of a favour God
Knowing this kind of and Awesome God
No One compares to you my King
You are an awesome God King of kings saviour
You are the Alpha and still The Omega eeiye
Standing on the solid rock

Mungu habadiliki kamwe
Yeye halinganishwi kamwe oooh!
Baba hafananishwi kamwe
Anatenda mambo mengi makuu uuh

Tumuite Baba, tumwimbie Yesu Ooh
Tumwite Baba, Baba Baba heeyi
Tumwite Baba, Baba Baba eeyah
Mwaminifu wakati wote, Tumwite Baba
Alitukomboa (Tumwite baba)
Akatuweka huru (Tumwimbie Yesu)
Tumwite Baba Baba Baba
Mwaminifu toka mwanzo hadi sasa
M


Mwaminifu Video

Mwaminifu Lyrics -  Kambua

Kambua Songs

Related Songs