Edson Mwasabwite - Hakuna Kama Yesu Lyrics

Hakuna Kama Yesu Lyrics

Nataka na mimi niimbe
Nataka na mimi niimbe (imba) 
Nataka na mimi niimbe
Hakuna kama Yesu 
Acha na mimi niimbe 
Acha na mimi niimbe (imba) 
Acha na mimi niimbe 
Hakuna kama Yesu

Nimezunguka zunguka sana mimi ye
Kutafuta mtu wa kufanana na Yesu 
(Oh mimi sijaona ) 
Nani mwanadamu mwenye huruma kama zake Bwana Yesu 
(Oh mimi sijaona) 
Anayekubali kuacha vyote kuajili ya mtu mwingine 
Oh ni Yesu tu uu (Oh mimi sijaona) 
Alikubali kuacha vyote mbinguni kwa Baba yake 
Akashuka kwetu (Oh mimi sijaona) 
Oh anayefanana kidogo, anayelingana kidogo 
Anayemkaribia (Oh mimi sijaona) 
Hakuna mwanaume kama Yesu, hakuna mwenye nguvu kama Yesu 
Hakuna mkuu kama Yesu (Oh mimi sijaona) 
Angalia mambo yake Yesu, matendo yake Yesu 
Nguvu zake Yesu (Oh mimi sijaona) 
Sijaona kama yeye, kama yeye Bwana 
Mponyaji na mwokozi (Oh mimi sijaona) 

Oh hakuna kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu 
Oh mwenye nguvu kama Yesu, kama Yesu sijaona  
Oh hakuna kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu 
Mwenye upendo kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu sijaona 
Oh hakuna kama Jehovah (aaah), kama Jehovah (eeeh)
Kama Jehovah (Hakuna kama Yesu) 
Aliyetufia kalivari (aaah), eeeh (eeeh) 
Ili sisi tupone (Hakuna kama Yesu) 
Hakuna kama Jehovah(aaah), kama Jehovah (eeeh) 
Kama Jehovah (Hakuna kama Yesu) 
kama Yesu, (aaah), kama Yesu (eeeh) 
Kama Yesu (Hakuna kama Yesu) 

Mwenye nguvu mwenye mamlaka (aaah) aa aah 
Eeeh , Hakuna kama Yesu 
Sijaona kama Yesu, (aaah), kama Yesu (eeeh) 
Sijaona mimi(Hakuna kama Yesu) 
Anayetupenda anayetujali (aaah) eeh (eeh)
Sijaona mimi, (Hakuna kama Yesu) 
...


Hakuna Kama Yesu Video

Hakuna Kama Yesu Lyrics -  Edson Mwasabwite

Edson Mwasabwite Songs

Related Songs