Abeddy Ngosso - Mimi Siyawezi - Yesu Ndiye Msaada Wangu Lyrics

Mimi Siyawezi - Yesu Ndiye Msaada Wangu Lyrics

Yesu ndiye msaada wangu,wa karibu
Kwa yote ninayopitia, maaana mimi
Siyawezi haya yote ,ni wewe uyawezaye

Mungu wangu nifungulie, milango ya mbinguni,
kwa yote ninayopitia, ni wewe uyawezaye ,
Shida zangu zimekuwa nyingi, nakuhitaji wewe

Yesu ndiye msaada wangu,wa karibu
Kwa yote ninayopitia, maaana mimi
Siyawezi haya yote ,ni wewe uyawezaye

Wewe ndiwe unabariki bariki,
Na tena unaponya, mlinzi mwema utulindaye,
na wewe tu unafariji baba ,wewe ndiwe mti wa uzima,
milele twakuhitaji, Baba yeye

Yesu ndiye msaada wangu,wa karibu
Kwa yote ninayopitia, maaana mimi
Siyawezi haya yote ,ni wewe uyawezaye

Yesu wangu nakuhitaji, njoo ndani ya moyo wangu,
unibariki nifariji ,maana nimevunjika
ooh sina mwingine,aniwezaye ila wewe wanitosha

Yesu ndiye msaada wangu,wa karibu
Kwa yote ninayopitia, maaana mimi
Siyawezi haya yote ,ni wewe uyawezaye

Hakuna aliye kama yesu, maana yeye hutenda
Ni wewe uyawezaye
Ninakuinua, ni wewe uyawezaye
Ni wewe waweza yote, ni wewe uyawezaye
Ninakutukuza, ni wewe uyawezaye
Ni wewe waweza yote, ni wewe baba

Abeddy Ngosso ft. Sarah K


Mimi Siyawezi - Yesu Ndiye Msaada Wangu Video

Abeddy Ngosso Songs

Related Songs