Yeremia 15 : 16 Jeremiah chapter 15 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 15:16
Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee Bwana, Mungu wa majeshi.
|
Jeremiah 15:16Your words were found, and I ate them; and your words were to me a joy and the rejoicing of my heart: for I am called by your name, Yahweh, God of hosts. |