Yeremia 15 : 16 Jeremiah chapter 15 verse 16

Swahili English Translation

Yeremia 15:16

Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee Bwana, Mungu wa majeshi.
soma Mlango wa 15

Jeremiah 15:16

Your words were found, and I ate them; and your words were to me a joy and the rejoicing of my heart: for I am called by your name, Yahweh, God of hosts.