Isaya 16 : 10 Isaiah chapter 16 verse 10

Swahili English Translation

Isaya 16:10

Na furaha imeondolewa, na shangwe toka mashamba yaliyozaa sana; hapana kuimba katika mashamba ya mizabibu, wala sauti za furaha; akanyagaye hakanyagi divai katika mashinikizo; nimeikomesha sauti ya furaha yake akanyagaye.
soma Mlango wa 16

Isaiah 16:10

Gladness is taken away, and joy out of the fruitful field; and in the vineyards there shall be no singing, neither joyful noise: nobody shall tread out wine in the presses; I have made the [vintage] shout to cease.