Matendo ya Mitume 24 : 14 Acts chapter 24 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
Matendo ya Mitume 24:14
Ila neno hili naungama kwako ya kwamba kwa Njia ile ambayo waiita uzushi, ndivyo ninavyomwabudu Mungu wa baba zetu, nikiyaamini yote yanayopatana na torati na yaliyoandikwa katika vyuo vya manabii.
|
Acts 24:14But this I confess to you, that after the Way, which they call a sect, so I serve the God of our fathers, believing all things which are according to the law, and which are written in the prophets; |