Matendo ya Mitume 24 : 14 Acts chapter 24 verse 14

Swahili English Translation

Matendo ya Mitume 24:14

Ila neno hili naungama kwako ya kwamba kwa Njia ile ambayo waiita uzushi, ndivyo ninavyomwabudu Mungu wa baba zetu, nikiyaamini yote yanayopatana na torati na yaliyoandikwa katika vyuo vya manabii.
soma Mlango wa 24

Acts 24:14

But this I confess to you, that after the Way, which they call a sect, so I serve the God of our fathers, believing all things which are according to the law, and which are written in the prophets;