2 Mambo ya Nyakati 29 : 27 2nd Chronicles chapter 29 verse 27

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 29:27

Hezekia akaamuru kutoa sadaka ya kuteketezwa madhabahuni. Na wakati ilipoanza sadaka hiyo ya kuteketezwa, ukaanza na huo wimbo wa Bwana, na mapanda, pamoja na vinanda vya Daudi mfalme wa Israeli.
soma Mlango wa 29

2nd Chronicles 29:27

Hezekiah commanded to offer the burnt offering on the altar. When the burnt offering began, the song of Yahweh began also, and the trumpets, together with the instruments of David king of Israel.